1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

18,02.2017: Matangazo ya asubuhi

Isaac Gamba
18 Februari 2017

Tuliyo nayo ni pamoja na : Mkutano wa kimataifa wa usalama waendelea mjini Munich Ujerumani// Pakistai yadai kuwaua magaidi zaidi ya 100// Burundi yaitaka Tanzania kuwakamata viongozi kadhaa wa chama kikuu cha upinzani wanaohudhuria mazungumzo ya kutafuta amani yanayofanyika mjini Arusha.

https://p.dw.com/p/2Xnxz