1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

15.12.2020 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S15 Desemba 2020

Wenye mzio wadhurika na chanjo ya Pfizer, Uingereza/ Kenya na Somalia zimeingia kwenye kipindi kigumu cha uhusiano baada ya purukushani za kidiplomasia/ Bobi Wine avutana na tume ya uchaguzi huko Uganda/ Burundi: Polisi imewaokoa wanawake na wasichana zaidi ya 100 waliokuwa wameandaliwa kusafarishwa kimagendo/ Kivu Kusini: Zaidi ya watu 50,000 wanatajwa kuathirika na mafuriko ya mvua mkubwa

https://p.dw.com/p/3mlLY