1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

14.12.2020 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S14 Desemba 2020

Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amelihutubia taifa lake katika Risala ya Hali ya Nchi / Kwa mara ya kwanza katika historia tangu kuingia madarakani, Rais wa Somaliland anaizuru Kenya rasmi/ Waandishi wa habari wa ndani na wa kigeni nchini Uganda wameagizwa kujisajili upya ikiwa umesalia mwezi mmoja kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu/ Kamati ya "Electoral College" kumchagua rasmi Biden

https://p.dw.com/p/3miIF