Viongozi wa Jumuiya ya kujihami ya NATO waliokusanyika mjini Washington, wanatarajiwa kufanya mazungumzo zaidi na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky aliyeahidiwa na muungano huo kupewa misaada zaidi ya kijeshi+++Umoja wa Mataifa umesema kuwa, amri ya jeshi la Israel ya kuwataka raia waondoke katika mji wa Gaza, utawasababisha wakaazi hao mateso makubwa