Siasa11.04.2021 Matangazo ya JioniTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaSudi Mnette11.04.202111 Aprili 2021Kiongozi wa chama cha kihafidhina cha Christian Social Union (CSU) cha nchini Ujerumani Markus Soeder amesema yuko tayari kuwa mgombea wa ukansela wa muungano wa vyama vyama vya kihafidhina katika uchaguzi mkuu wa mwezi Septemba.https://p.dw.com/p/3rqaSMatangazo