Waziri Mkuu wa India Narendra Modi amemwambia mwenzake wa Urusi Vladimir Putin kwamba suala la amani ndio la muhimu zaidi kwa sasa na kwa namna yoyote ile vita haviwezi kuwa suluhu ya matatizo+++Kundi la wataalamu wa Umoja wa Mataifa limezituhumu Rwanda na Uganda kuwaunga mkono waasi wa M23 wanaoendesha harakati zao mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo