Wanasiasa nchini Ujerumani wanajadili juu ya jeshi la Ujerumani kuhusika moja kwa moja kwenye eneo la Mashariki ya Kati+++Wanawake wa Afghanistan wanakabiliwa na adhabu ya kifungo wanapokiuka maadili ya utawala wa Taliban. Ripoti zinaashiria kuwa wanawake hao wanapokuwa magerezani hunyanyaswa na kudhalilishwa kingono.