Watu 82 wafariki Indonesia kufuatia tetemeko la ardhi. // Viongozi wanaohasimiana nchini Sudan Kusini, Rais Salva Kiir na makamu wa zamani wa rais Riek Machar, wamesaini makubaliano ya mwisho ya kugawana madaraka.// Rais wa Marekani Donald Trump, amekiri mwanaye alikutana na wakili wa Urusi, kupata habari zinazomhusu mshindani wake-Hillary Clinton