1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

06.01.2024: Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S6 Januari 2024

Kwenye matangazo haya utasikia miongoni mwa mengineyo, Hofu imezidi kutanda kwamba vita vya Israel mjini Gaza vinaweza kusambaa katika kanda nzima ya Mashariki ya Kati baada ya mashambulizi mabaya yaliyofanyika Lebanon na Iraq na Korea Kaskazini yaonekana kuchukuwa muelekeo mpya kwenye mahusiano yake na Korea Kusini. Kulikoni? Karibu usikilize.

https://p.dw.com/p/4av5z
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Symbolbild Deutsche Welle Logo
Picha: Marius Becker/dpa/picture alliancePicha: Marius Becker/dpa/picture alliance

Matangazo ya Asubuhi, saa 12:08 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Asubuhi, saa 12:08 (Afrika Mashariki)