Watu wapatao saba wamefariki na wengine zaidi ya 800 wamejeruhiwa baada ya tetemeko kubwa la ardhi kuikumba Taiwan+++Mgomo wa madaktari Kenya umeingia siku ya 21 huku maafisa wa utabibu wakijuinga kupaza sauti zao+++Mahakama ya katiba nchini Uganda imetupilia mbali shauri la kupinga sheria dhidi ya mapenzi kati ya watu wa jinsia moja