1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

03.04.2024 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S3 Aprili 2024

Watu wapatao saba wamefariki na wengine zaidi ya 800 wamejeruhiwa baada ya tetemeko kubwa la ardhi kuikumba Taiwan+++Mgomo wa madaktari Kenya umeingia siku ya 21 huku maafisa wa utabibu wakijuinga kupaza sauti zao+++Mahakama ya katiba nchini Uganda imetupilia mbali shauri la kupinga sheria dhidi ya mapenzi kati ya watu wa jinsia moja

https://p.dw.com/p/4eNpS