1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ziwa Tanganyika lakabiliwa na vitisho sita

20 Januari 2014

Watu waliozaliwa na kukulia katika maeneo ya pembezoni mwa Ziwa Tanganyika wana wakati mgumu, kwani ziwa hilo linakabiliwa vitisho sita vinavyoliathiri na ambavyo vinayagusa moja kwa moja maisha ya watu hao.

https://p.dw.com/p/1AtpJ
Wakimbizi wa Kikongo wakivuuka Ziwa Tanganyika.
Wakimbizi wa Kikongo wakivuuka Ziwa Tanganyika.Picha: AP

Ziwa Tanganyika lenye kina cha ujazo wa mita 1,470, urefu wa kilomita 673 na upana wa kilomita 50 ni la pili kwa ukubwa barani Afrika na la pili pia kwa wingi wa ujazo wake wa maji duniani na kina kirefu baada ya Baikal la Saiberia. Lakini sasa, bonde la ziwa hilo limeanza kupoteza uhai.

Sudi Mnette anaangazia maisha ya watu waliomo kwenye bonde hilo, ambalo linazihusisha nchi za Tanzania, Zambia, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Burundi.

Kusikiliza makala haya, tafadhali bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.