1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Zimbabwe-Nani atamrithi Mugabe?

Mohammed Abdulrahman
25 Agosti 2017

Maoni mbele ya meza duara: Mada ni mvutano ndani ya chama tawala nchini Zimbabwe - ZANU-PF kuhusu atakayemrithi rais Robert Mugabe atakapoondoka madarakani pamoja na ushawishi wa mke wa kiongozi huyo Grace Mugabe. Mohammed Abdul-Rahman anawakaribisha Profesa Mwesiga Baregu kutoka Dar es Salaam, mchambuzi Martin Oloo kutoka Nairobi na mwandishi Nixon Katembo kutoka Johannesburg.

https://p.dw.com/p/2iq3Q