1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Vyombo vya habari

Youtube na Facebook zashindana upande wa video

Yusra Abdallah Buwayhid3 Machi 2017

Katika Sema Uvume Yusra Buwayhid anazungumzia ushindani wa teknolojia ya video kati ya mitandao ya Facebook na Youtube. Youtube imetangaza kuzindua App ya kurusha video live kutoka mahala popote, huku Facebook ikiwa imezindua App ya kuweza kuangalia video fupi za mtandao huo katika televisheni. Vile vile utasikia kuhusu App zinazomrahisishia kazi mwanamke katika kufuatilia siku zake za mwezi.

https://p.dw.com/p/2YZnS