1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Yapi yatarajiwe kwa kocha mpya wa Ujerumani?

Sudi Mnette22 Septemba 2023

Julian Nagelsmann athibitishwa kuwa kocha mkuu mpya wa timu ya taifa ya Ujerumani. Kocha huyo mwenye umri wa miaka 36 ataiongoza timu hiyo kwenye michuano ya Euro 2024. Sikiliza uchambuzi wa Sekione Kitojo.

https://p.dw.com/p/4WhnM