1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Yanga yaanza Ligi ya Mabingwa kwa kishindo

21 Agosti 2023

Mabingwa wa Tanzania bara Yanga SC imeanza vyema mchezo wake wa kwanza wa raundi ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kuwafunga wenyeji, ASAS ya kutoka nchini Djibouti 2-0 Jumapili katika dimba la Azam Complex jijini Dar es Salaam. Msikilize Mindi Joseph.

https://p.dw.com/p/4VPZ3