1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Yanga nje ya Ligi ya Mabingwa Afrika

17 Oktoba 2022

Timu ya Yanga imetupwa nje ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuchapwa 1-0 na Al Hilal katika mchezo wa marudiano Hatua ya 32 Bora jumapili katika Uwanja wa Al Hilal mjini Omdurman nchini Sudan. Msikilize mwanamichezo wa DW Mindi Joseph.

https://p.dw.com/p/4IHuC