1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Maadhimisho ya kumbukumbu ya kifo cha rais Magufuli Tanzania

Saumu Yusuf18 Machi 2022

Afrika wiki hii inayadurusu yaliyojitokeza wiki nzima ndani ya bara la Afrika na miongoni mwa yaliyotazamwa ni kumbukumbu ya mwaka mmoja tangu kifo cha rais Magufuli wa Tanzania,na Kenya joto la kisiasa lapamba moto huku maandalizi nayo yakishika kasi,wakati Rwanda ikituhumiwa kuwatia jela waandishi habari na wakosoaji wa serikali.Jiunge na Saumu Mwasimba katika makala hii

https://p.dw.com/p/48gwP