1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wizi wa mitandaoni

ANUARY MKAMA5 Februari 2021

Kwenye Vijana Tugutuke, tunakupeleka Dar Es Salaam, na mada kuu tunayojadili na vijana ni kuhusu wizi wa mitandaoni. Anayeongoza mjadala huu ni Anuary Mkama. Je vijana wanazungumziaje kadhia hiyo? Hebu tuwape sikio.

https://p.dw.com/p/3ov6e