1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu afanya ziara Berlin

16 Machi 2023

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz kwa pamoja wametembelea makumbusho ya Wayahudi ya Gleis 17 ambapo zaidi ya Wayahudi 50,000 walisafirishwa kwa njia ya treni hadi kwenye kambi ya mateso ya Auschwitz kati ya mwaka 1941 na 1945.

https://p.dw.com/p/4Onom
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi Ujerumani

Vidio ya habari na matukio