1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Waziri Kabudi kukiri kifo cha Gwanda kwazusha sintofahamu

11 Julai 2019

Kauli ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania Palamagamba Kabudi imezusha hali ya sintofahamu kuhusu hatma ya mwandishi habari Azory Gwanda aliekiri kuwa ametoweka na kufariki. DW imezungumza na Katibu Mkuu wa Jukwaa la Wahariri la Tanzania Neville Meena kutaka kujua ameipokeaje kauli hiyo?

https://p.dw.com/p/3LuOY