WATOTO WANYANGANYWA SILAHA:18.01.200418 Januari 2004https://p.dw.com/p/CFi6MatangazoMONROVIA: Shirika la Umoja wa Mataifa-UNICEF limeanzisha kampeni kuu ya kuwanyanganya silaha wale watoto waliopigana vitani pamoja na waasi na vikosi vya serikali nchini Liberia.