1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Watanzania waendelea kumkumbuka Mkapa

28 Julai 2020

Kurunzi Live imetembelea kijiji cha Lupaso alikozaliwa na kukulia marehemu rais mstaafu wa awamu ya tatu Benjamin Mkapa. Huko mwenzetu Salma Mkalibala alitupia jicho huku na huko na kuzungumza na baadhi ya wakazi kusikia wanamkumbukaje? Kurunzi

https://p.dw.com/p/3g3K5