1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wasichana wanaodhamiria kuwa wanamitindo mahiri

17 Desemba 2021

Kutana na wasichana wanaopigania ndoto zao licha ya kuwa wanatoka katika mazingira duni lakini hali hiyo haijawa kisiki kwao. Azma yao kuu ni kutaka kuyafikia malengo yao ili wawe wanamitindo mahiri. Mtangazaji chipukizi Hadija Halifa anasimulia zaidi kwenye video zetu za Msichana Jasiri.

https://p.dw.com/p/44Pa6