1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wasichana bikra kupata msaada wa masomo Afrika Kusini

Saumu Ramadhani Yusuf4 Februari 2016

Nchini Afrika Kusini meya wa mkoa wa KwaZulu-Natal ametangaza kuwapatia msaada wa kujiendeleza na masomo ya juu, wasichana waliobainika kuwa bado ni mabikra. Kwanini Afrika Kusini inaendeleza mila hii ya kukagua bikra wasichana ? Ungana na Saumu Mwasimba katika kipindi hiki cha utamaduni na sanaa

https://p.dw.com/p/1Hpa1