Wapiga kura wachagua serikali mpya Ugiriki
16 Septemba 2007Matangazo
Lakini uchunguzi wa maoni unaonyesha kuwa uchaguzi wa leo utakuwa mchuano mkali kati ya serikali na chama cha upinzani cha wasoshalisti PASOK,baada ya serikali kulaumiwa uongozi mbaya wakati wa maafa ya moto hivi karibuni.
Kwa mara ya kwanza tangu kungólewa kwa utawala wa kijeshi mwaka 1974,safari hii chama chenye sera kali za mrengo wa kulia kina nafasi ya kuingia katika bunge la Athens lililo na viti 300.