1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wanawake wanaojishughulisha na kilimo cha Alizeti Babati

Natalis Veronica3 Novemba 2022

Makala ya wanawake na Maendeleo hii leo inaumulika umoja wa vikundi vya kinamama wanaolima zao la Alizeti kutoka wilaya ya Hanang; Mkoani Manyara kaskazini mwa Tanzania, umoja ulioanzishwa takribani miaka mitano iliyopita, je ni yapi mafanikio ya umoja huo, ungana mani Veronica Natalis katika Makala hii. 

https://p.dw.com/p/4IzrM