1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wanawake waliovikwa taji la nguvu duniani mwaka 2021

Amina Mjahid8 Februari 2022

Katika makala hii ya wanawake na maendeleo, tunawaangazia wanawake waliovikwa taji la kuwa wanawake walio na nguvu duniani mwaka 2021. Je, ni kwanini wamevikwa taji hilo na mchango wao ni upi katika jamii wanakotoka? Amina Abubakar na mengi zaidi.

https://p.dw.com/p/46fcX