1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wanawake wahamasishaji wa chanjo ya Uviko-19 Mombasa

Halima Gongo11 Oktoba 2023

Wakaazi baadhi Mombasa Kenya hawakupata chanjo ya Uviko-19, kutokana na sababumbalimbali. Kundi la wanawake limejitolea kuhamasisha jamii ili kupata chanjo hiyo lakini wanakabiliwa na changamoto chungunzima.

https://p.dw.com/p/4XOuA