1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wanawake na Maendeleo : wanawake wa migodi ya Dhahabu jimboni Vihiga Kenya

Musa Naviye9 Februari 2023

Karibu kwenye Makala, Wanawake na Maendeleo leo, tukipigia darubini hali ya wanawake wa migodi ya dhahabu nchini Kenya, anayekukaribisha ni mimi Musa Naviye nikikusihi, uandamane nami hadi tamati.

https://p.dw.com/p/4NIbv