1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wakimbizi wa ndani wahitaji misaada Kongo

4 Novemba 2022

Mapigano ya hivi karibuni baina ya jeshi la Kongo na waasi wa M23 yasababisha wimbi jipya la wakimbizi wa ndani. Makumi ya maelfu ya raia wakimbia makaazi yao kwenye mkoa wa Rutshuru na wanaishi katika hali ngumu. Wakimbizi hao wandani wanahitaji misaada. #Kurunzi

https://p.dw.com/p/4J4ZZ