1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wakazi wa Kigoma wazungumzia chanjo

Prosper Kwigize30 Julai 2021

Siku chache baada ya Tanzania kuzindua huduma ya utoaji wa chanjo dhidi ya virusi vya Corona, wakazi wa mkoa wa Kigoma pamoja na wakimbizi wametoa maoni yao wakipongeza hatua hiyo. Mwandishi wetu Prosper Kwigize alituandaliwa ripoti hii kutoka Kigoma Magharibi mwa Tanzania.

https://p.dw.com/p/3yKnN