Wafanyakazi wa tume ya umoja wa mataifa wameanzisha mgomo nchini Kongo
23 Agosti 2007Matangazo
Kwa wakati huohuo MONUC imesema kwamba wanajeshi 57 wa jeshi jipya
la DRC wametoroka jeshini,jimboni kivu ya kaskazini.
Ripoti kamili na mwandishi wetu Saleh Mwanamilongo kutoka Kinshasa.