1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wabunge duniani watofautiana juu ya vita vya Ukraine

Karemera14 Oktoba 2022

Wabunge kutoka shirikisho la mabunge ulimwenguni IPU wanaokutana katika mji mkuu wa Rwanda, Kigali wamejikuta wakitofautiana misimamo yao kuhusu uvamizi wa Urusi nchini Ukraine wakati wakijadili changamoto mbalimbali zinazoendelea ulimwenguni kuhusu masuala ya usalama na unyanyasaji wa kijinsia. Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylivanus Karemera alituarifu zaidi.

https://p.dw.com/p/4ICEq