1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Waathiriwa wa mafuriko Burundi hawajapata suluhisho

11 Oktoba 2021

Baadhi ya walioathiriwa na mafuriko nchini Burundi yapata miezi michache iliyopita bado hawajapata suluhisho muafaka. Bado wanatumia mitumbwi ili kufika au kuondoka katika majumba yao huku wengine wakisalia kwenye mahema. Wasiwasi wao mkubwa ni kwamba msimu wa mvua unakaribia tena wakiwa katika hali hiyo. Amida Issa anasimulia zaidi kwenye #Kurunzi.

https://p.dw.com/p/41Xdu