1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Waasi wa FDLR wataka mazungumzo na Rwanda

Benjamin Kasembe12 Aprili 2023

Waasi wa Kihutu kutoka Rwanda, FDLR, wanaoendesha harakati zao mashariki mwa Kongo, wameirai Jumuiya ya Kimataifa kuingilia kati tofauti zilizopo kati yao na serikali ya Rwanda inayowatuhumu kuhusika na mauwaji yakimbari ya mwaka wa 1994. Sikiliza Ripoti ya Benjamin Kasembe kutoka Goma.

https://p.dw.com/p/4PwlD