1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Waangalizi wa uchaguzi mkuu Kenya

12 Agosti 2022

Waangalizi wa kigeni Wameitangaza tathmini yao ya kwanza tangu uchaguzi kufanyika mwanzoni mwa wiki hii, hata hivyo wamejizuia kutoa maoni yao kama uchaguzi huo wenye ushindani mkali kati ya wagomea wawili wa nafasi ya Urais Willium Ruto na Raila Odinga ulikuwa huru na haki

https://p.dw.com/p/4FSOu