1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Waandamanaji Ujerumani wataka kusitishwa ununuzi gesi Urusi

Hawa Bihoga
7 Aprili 2022

Waandamanaji nchini Ujerumani wanaishinikiza serikali yao kukubali kutonunua mafuta na gesi kutioka Urusi, wanasema fedha wanazozipata zinafadhili vita,mauaji na uteswaji wa raia Ukraine

https://p.dw.com/p/49bX4