1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Viongozi wa EU na wa nchi za kiarabu waahidi ushirikiano

Iddi Ismail Ssessanga27 Februari 2019

Mkutano wa kwanza kabisa wa kilele kati ya Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Mataifa ya Kiarabu kule Sharm al-Sheikh nchini Misri uliahidi kuanza enzi mpya ya ushrikiano. Karibu viongozi 40 wa mataifa ya Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Kiarabu walisisitiza namna changamoto zao zinavyohusiana na kuhitaji juhudi za pamoja. Mengi zaidi ni kwenye makala ya Mwangaza wa Ulaya naye Iddi Ssessanga karibu.

https://p.dw.com/p/3E9h4