1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Viongozi wa dini wataka maridhiano kati ya IEBC na DCI

Thelma Mwadzaya25 Julai 2022

Viongozi wa kidini wanairai tume ya uchaguzi IEBC na idara ya upelelezi DCI kukaa kwenye meza ya mazungumzo na kujadili juu ya tofauti zilizoibuka.Kwa upande mwingine,mdahalo wa wagombea wa urais umepangwa kufanyika kama ilivyopangwa kesho jioni.

https://p.dw.com/p/4EcHU