1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Unyanyasaji wa Kijinsia Afrika Kusini

Bryson Bichwa5 Mei 2022

Mbali na hamasa ya dunia katika kupinga ukatili na unyanyasaji dhidi ya wanawake na wasichana, visa kama hivi vimeendelea kushuhudiwa licha ya mamalaka kusaini mikataba ya kimataifa katika kupinga dhuluma hizo zilizopewa kibali na mila na tamaduni kamdamizi. Bryson Bichwa kutoka Afrika kusini anamulika jamii hiyo.

https://p.dw.com/p/4Arwq