1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Umoja wa Mataifa wataka kusitishwa mapigano Syria

26 Februari 2018

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres ametaka utekelezwaji wa haraka wa azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu kusimamishwa mapigano kwa siku 30 nchini Syria, lililofikiwa Jumamosi iliyopita.

https://p.dw.com/p/2tLNU