1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ulemavu si mwisho wa maisha

2 Novemba 2023

Licha kwamba wao ni walemavu wa viungo, hawajaruhusu hali hiyo kuwa kisiki au kuwapotezea matumaini ya kucheza mpira wa kikapu. Hapa wako uwanjani wakifanya mazoezi mjini Bukavu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Ndoto yao ni kupiga hatua zaidi na kushiriki michezo ya kitaifa na kimataifa. Mitima Delachance aliwatembelea na anasimulia zaidi

https://p.dw.com/p/4YHHA