1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ukuzaji wa Fasihi nchini Tanzania

21 Novemba 2022

Je wewe ni mpenzi wa kusoma hadithi ndefu au fupi? Ni lini umesoma hadithi yako ya mwisho? Tizama hapa juhudi zinazofanywa na wanafasihi huko nchini Tanzania kuibua vipaji na kuwahimiza watu kusoma zaidi. #Kurunzi

https://p.dw.com/p/4JpA2