Ukeketaji wa wanawake ni uvunjaji wa haki za binaadamu
30 Novemba 2011Matangazo
Salma Said anazungumzia mila ya ukeketaji wanawake katika makabila na imani tafauti za kidini, ingawa anahoji kwamba mila hiyo si sehemu ya dini yoyote ile ulimwenguni.
Makala: Salma Said
Mhariri: Othman Miraji