1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uhusiano tata kati ya Kenya Uganda

11 Agosti 2021

Vita vya maneno vimekuwa vikiendelea kati ya pande za kisiasa nchini Kenya na Uganda kuhusiana na hatua ya naibu wa rais Kenya William Ruto kuzuiwa kusafari kuelekea Uganda. Kupata picha kamili kuhusu cheche hizo za maneno na athari yake kwenye uhusiano baina ya mataifa hayo mawili, Tatu Karema amezungumza na Martin Oloo mchambuzi wa kisiasa kutoka Kenya na kwanza anaelezea tofauti zilizopo.

https://p.dw.com/p/3yqOa