1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uchoraji wa tattoo

3 Septemba 2018

Sikiliza makala yetu leo ambapo mwandishi wa DW Wakio Mbogho anamuangazia mchoraji Tattoo kutoka Sabaot nchini Kenya, ambaye ana umahiri wa miaka kumi na moja katika kazi hii ya uchoraji.

https://p.dw.com/p/34Cq9
Kenia Nakuru - Henry Ndege, Tätowierer
Henry Ndege, kulia, akimchora tatoo mteja wake mjini Nakuru, KenyaPicha: DW/W. Mbogho
Kenia Nakuru - Henry Ndege, Tätowierer
Hapa Henry Ndege akiendelea kuchapa kazi akitumia kifaa chake kuchora tatoo.Picha: DW/W. Mbogho