Sikiliza makala yetu leo ambapo mwandishi wa DW Wakio Mbogho anamuangazia mchoraji Tattoo kutoka Sabaot nchini Kenya, ambaye ana umahiri wa miaka kumi na moja katika kazi hii ya uchoraji.
https://p.dw.com/p/34Cq9
Matangazo
Henry Ndege, kulia, akimchora tatoo mteja wake mjini Nakuru, KenyaPicha: DW/W. MboghoHapa Henry Ndege akiendelea kuchapa kazi akitumia kifaa chake kuchora tatoo.Picha: DW/W. Mbogho