1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uchambuzi wa michuano ya kombe la kandanda la wanawake

21 Julai 2023

Michuano ya kombe la dunia la kandanda la wanawake inaendelea huko New Zealand na Australia ambapo leo Nigeria imefanikiwa kutoka sare tasa na Canada katika pambano kali lililoishuhudia mchezaji wa Nigeria akionyeshwa kadi nyekundu.

https://p.dw.com/p/4UEnk