1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ubora wa mbegu za kiasili ni upi?

4 Septemba 2020

Nchini Uganda, wakulima wanapenda kutumia mbegu za asili kuliko za dukani. Je ni kwa nini? Ili kuweza kuwa na mbegu zinazotosheleza mahitaji yao, wakulima wadogo vijijini wamebuni vyama vyao vya akiba ya mbegu. Lubega Emmanuel na mengi zaidi kwenye vidio hii ya Kurunzi.

https://p.dw.com/p/3i08Z