1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Turakella: Ubaguzi nchini Algeria ulifungua mlango wa fursa

Hawa Bihoga
23 Februari 2024

Akiwa katika safari yake ya elimu nchini Algeria msichana Turakella anakumbana na visa vya ubaguzi, ambavyo badala ya kumdhoofisha viligeuka fursa kwake na kuingia katika ulimwengu wa sanaa adimu. Sikia hadithi hii kupitia msichana jasiri

https://p.dw.com/p/4cn3g
Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

DW Kisuaheli Msichana Jasiri
Picha: Hawa Bihoga/DWPicha: Hawa Bihoga/DW

Msichana Jasiri

Kipindi hiki kinakupa fursa ya kusikia ujasiri wa msichana na mchango mkubwa anaoufanya katika jamii. Msichana Jasiri ni muwazi, ana upendo na yuko tayari kujitoa kuwahudumia wengine. Ni shujaa!