1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tunawezaje kuliboresha soka la wanawake?

25 Julai 2023

Michuano ya Kombe la Dunia kwa wanawake inaendelea kupamba moto huko #NewZealand na #Australia. Licha ya kushuhudia soka la kiwango cha juu, bado linakabiliwa na changamoto kadha wa kadha zinazozuia kusonga mbele, huku wanawake wenyewe wakiwa moja ya visiki. Kulikoni? Tizama video hii kisha unipatie maoni yako. #KurunziLive, #FIFAWWC ⚽⚽⚽💪💪

https://p.dw.com/p/4ULfB